Daniel 11:4

4 aBaada ya kujitokeza, milki yake itavunjwa na kugawanyika katika pande nne za mbinguni. Hautakwenda kwa wazao wake, wala hautakuwa na nguvu alizotumia, kwa sababu milki yake itang’olewa na kupewa wengine.

Copyright information for SwhKC